Swali: Ikiwa maktabah ya msikiti ina vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah wadh-Dhwalaal – je, itafaa kwangu kuvichukua na kuvichana?
Jibu: Wazungumzishe wahusika wa maktbah hiyo ili waviondoe vitabu hivo. Ama wewe usiviondoe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
- Imechapishwa: 17/02/2024
Swali: Ikiwa maktabah ya msikiti ina vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah wadh-Dhwalaal – je, itafaa kwangu kuvichukua na kuvichana?
Jibu: Wazungumzishe wahusika wa maktbah hiyo ili waviondoe vitabu hivo. Ama wewe usiviondoe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
Imechapishwa: 17/02/2024
https://firqatunnajia.com/jukumu-lako-wakati-maktabah-ya-msikiti-ina-vitabu-vya-ahl-ul-bidah/