Swali: Je, jini linaweza kumuibia mwanaadamu pesa zake?
Jibu: Ndio, inawezekana. Jini na mashaytwaan wanaweza kuiba pesa na kuwapelekea watu wao na mabwana zao wa kibinadamu. Kwa ajili hii ndio maana wanawapa wale wanaoshirikiana nao mali baada ya kunyenyekea kwao – tunaomba Allaah atukinge.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13407
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Je, jini linaweza kumuibia mwanaadamu pesa zake?
Jibu: Ndio, inawezekana. Jini na mashaytwaan wanaweza kuiba pesa na kuwapelekea watu wao na mabwana zao wa kibinadamu. Kwa ajili hii ndio maana wanawapa wale wanaoshirikiana nao mali baada ya kunyenyekea kwao – tunaomba Allaah atukinge.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13407
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/jini-linaweza-kumuibia-mwanadamu-pesa-zake/