Swali: Unatunasihi nini hii leo ambapo mapote, makundi, kuwatia watu ndani ya Bid´ah na kuwatia watu ndani ya ukafiri, sambamba na hilo kila mmoja anadai kuwa yuko katika haki?
Jibu: Tafuta elimu. Jifunzeni elimu sahihi kutoka kwa wanazuoni, na mtajua ni vipi mtatangamana na mambo haya. Hakuna kinachookoa kutokana na haya isipokuwa tu elimu ya Shari´ah, elimu ambayo ni sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 02/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)