Swali: Je, inafaa kukata ndevu kiasi kidogo tu?
Jibu: Haifai kukata chochote katika ndevu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Punguzeni masharubu na ziacheni ndevu… ”[1]
Haijuzu kabisa kuzigusa ndevu kwa hali yoyote ile.
[1] Muslim, Abu ´Awaanah, al-Bayhaqiy na Ahmad.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 01/04/2024
Swali: Je, inafaa kukata ndevu kiasi kidogo tu?
Jibu: Haifai kukata chochote katika ndevu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Punguzeni masharubu na ziacheni ndevu… ”[1]
Haijuzu kabisa kuzigusa ndevu kwa hali yoyote ile.
[1] Muslim, Abu ´Awaanah, al-Bayhaqiy na Ahmad.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 01/04/2024
https://firqatunnajia.com/je-inafaa-kukata-ndevu-kiasi-kidogo-tu/