Swali: Umesema kuwa Suurah hii inawaraddi Jabriyyah ambao ni Jahmiyyah na Murji-ah. Je, Suurah hii inawaraddi Qadariyyah vilevile?
Jibu: Jahmiyyah ndio Qadariyyah. Jabriyyah ndio Qadariyyah waliovuka mipaka katika kuthitibisha [matendo ya mja].
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-21.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Umesema kuwa Suurah hii inawaraddi Jabriyyah ambao ni Jahmiyyah na Murji-ah. Je, Suurah hii inawaraddi Qadariyyah vilevile?
Jibu: Jahmiyyah ndio Qadariyyah. Jabriyyah ndio Qadariyyah waliovuka mipaka katika kuthitibisha [matendo ya mja].
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-21.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/jahmiyyah-ndio-qadariyyah/