Swali: Je, inajuzu nchi ya kiyahudi kuiita “nchi ya Israaiyl?”
Jibu: Hapana, wao ndio wameiita hivo. Tunatakiwa kusema nchi ya kiyahudi. Hatusemi kuwa ni Israaiyl. Kwa sababu Israaiyl ni Nabii wa Allaah Ya´quub (´alayhis-Salaam). Hii sio nchi ya Ya´quub. Ni nchi ya shaytwaan. Sio nchi ya Ya´quub (´alayhis-Salaam). Allaah amemtukuza Ya´quub na nchi hii chafu na iliolaaniwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (35) http://alfawzan.af.org.sa/node/2132
- Imechapishwa: 13/07/2020
Swali: Je, inajuzu nchi ya kiyahudi kuiita “nchi ya Israaiyl?”
Jibu: Hapana, wao ndio wameiita hivo. Tunatakiwa kusema nchi ya kiyahudi. Hatusemi kuwa ni Israaiyl. Kwa sababu Israaiyl ni Nabii wa Allaah Ya´quub (´alayhis-Salaam). Hii sio nchi ya Ya´quub. Ni nchi ya shaytwaan. Sio nchi ya Ya´quub (´alayhis-Salaam). Allaah amemtukuza Ya´quub na nchi hii chafu na iliolaaniwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (35) http://alfawzan.af.org.sa/node/2132
Imechapishwa: 13/07/2020
https://firqatunnajia.com/israaaiyl-inatakiwa-kuitwa-nchi-ya-shaytwaan/