Swali: Ukifika wakati wa ´Ishaa na mtu akataka kuswali kabla yake kuna Sunnah?
Jibu: ´Ishaa haina Sunnah ya Raatibah kabla yake. Rawaatib ni Rak´ah kumi. Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia:
“Nilihifadhi kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Rak´ah kumi; Rak´ah mbili kabla ya Dhuhr, Rak´ah mbili baada yake, Rak´ah mbili baada ya Maghrib nyumbani kwake, Rak´ah mbili baada ya ´Ishaa nyumbani kwake na Rak´ah mbili kabla ya Subh.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (04/247)
- Imechapishwa: 22/03/2024
Swali: Ukifika wakati wa ´Ishaa na mtu akataka kuswali kabla yake kuna Sunnah?
Jibu: ´Ishaa haina Sunnah ya Raatibah kabla yake. Rawaatib ni Rak´ah kumi. Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia:
“Nilihifadhi kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Rak´ah kumi; Rak´ah mbili kabla ya Dhuhr, Rak´ah mbili baada yake, Rak´ah mbili baada ya Maghrib nyumbani kwake, Rak´ah mbili baada ya ´Ishaa nyumbani kwake na Rak´ah mbili kabla ya Subh.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (04/247)
Imechapishwa: 22/03/2024
https://firqatunnajia.com/ishaa-haina-raatibah-kabla-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)