Swali: Iqaamah za Oman ni mfano wa adhaana.
Jibu: Haya yamepokelewa katika baadhi ya Hadiyth ikiwa ni pamoja na Hadiyth ya Abu Mahdhuurah. Hapana vibaya kufanya hivo. Lakini kufanya Itaarah ndio bora zaidi kama ambavo Bilaal alivokuwa akifanya mbele ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Maana yake ni kwamba asikariri “ash-Hadu anlaa ilaaha illa Allaah” wala “Haiyyaa ´alaa as-Swalaah”. Bali kila kimoja katika hayo akilete mara moja. Akiyakariri hapana neno kutokana na Hadiyth ya Abu Mahdhuurah iliyoashiriwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/366)
- Imechapishwa: 24/09/2021
Swali: Iqaamah za Oman ni mfano wa adhaana.
Jibu: Haya yamepokelewa katika baadhi ya Hadiyth ikiwa ni pamoja na Hadiyth ya Abu Mahdhuurah. Hapana vibaya kufanya hivo. Lakini kufanya Itaarah ndio bora zaidi kama ambavo Bilaal alivokuwa akifanya mbele ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Maana yake ni kwamba asikariri “ash-Hadu anlaa ilaaha illa Allaah” wala “Haiyyaa ´alaa as-Swalaah”. Bali kila kimoja katika hayo akilete mara moja. Akiyakariri hapana neno kutokana na Hadiyth ya Abu Mahdhuurah iliyoashiriwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/366)
Imechapishwa: 24/09/2021
https://firqatunnajia.com/iqaamah-kama-adhaana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)