Swali: Inajuzu kuwazika maiti usiku?
Jibu: Ndio. Inajuzu kuzika usiku maadamu mtu amefanya yale ya wajibu; maiti ameoshwa na amevikwa sanda na baada ya hapo ameswaliwa swalah ya jeneza. Katika hali hiyo inajuzu kuzika usiku. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alizikwa usiku. Inasemekana vilevile kuwa Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) alizikwa usiku. Kadhalika mwanamke ambaye alikuwa akifuagia msikitini alizikwa usiku. Asli ni kujuzu. Kwa hiyo haya yanafahamisha kuwa kuzika usiku inajuzu kwa sharti kufanywe yale ya wajibu; kuoshwa, kuvikwa sanda na kuswaliwa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/180)
- Imechapishwa: 23/08/2021
Swali: Inajuzu kuwazika maiti usiku?
Jibu: Ndio. Inajuzu kuzika usiku maadamu mtu amefanya yale ya wajibu; maiti ameoshwa na amevikwa sanda na baada ya hapo ameswaliwa swalah ya jeneza. Katika hali hiyo inajuzu kuzika usiku. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alizikwa usiku. Inasemekana vilevile kuwa Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) alizikwa usiku. Kadhalika mwanamke ambaye alikuwa akifuagia msikitini alizikwa usiku. Asli ni kujuzu. Kwa hiyo haya yanafahamisha kuwa kuzika usiku inajuzu kwa sharti kufanywe yale ya wajibu; kuoshwa, kuvikwa sanda na kuswaliwa.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/180)
Imechapishwa: 23/08/2021
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kuwazika-maiti-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)