Swali: Ni ipi hukumu ya picha zinazopatikana kwenye magazeti ya Kiislamu ambayo tunanunua? Ni ipi hukumu ya picha za kumbukumbu ambazo hazitundikwi ukutani? Je, inajuzu kubaki nazo na kuzihifadhi?
Jibu: Haijuzu kuhifadhi picha za kumbukumbu. Bali ni wajibu kuziharibu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwambia ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh):
“Usiache picha (sanamu) isipokuwa umeiharibu, kaburi lililoinuka isipokuwa umelisawazisha.”
Ameipokea Imaam Muslim katika “as-Swahiyh” yake.
Kuhusu zinazopatikana kwenye kitabu au gazeti na wewe ni mwenye kuhitaji kukihifadhi, iharibu picha ijapokuwa uso wake na ubaki nacho kutokana na haja.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/483)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya picha zinazopatikana kwenye magazeti ya Kiislamu ambayo tunanunua? Ni ipi hukumu ya picha za kumbukumbu ambazo hazitundikwi ukutani? Je, inajuzu kubaki nazo na kuzihifadhi?
Jibu: Haijuzu kuhifadhi picha za kumbukumbu. Bali ni wajibu kuziharibu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwambia ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh):
“Usiache picha (sanamu) isipokuwa umeiharibu, kaburi lililoinuka isipokuwa umelisawazisha.”
Ameipokea Imaam Muslim katika “as-Swahiyh” yake.
Kuhusu zinazopatikana kwenye kitabu au gazeti na wewe ni mwenye kuhitaji kukihifadhi, iharibu picha ijapokuwa uso wake na ubaki nacho kutokana na haja.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/483)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kupiga-picha-za-kumbukumbu-ikiwa-mtu-hazitundiki-ukutani/