Swali: Baadhi ya wale wanaowaosha maiti huelezea yanayowakuta pindi wako wanawaosha maiti. Unasemaje?
Jibu: Kinachotakiwa kwa mwoshaji ni yeye kuficha yale aliyoyaona ikiwa si mazuri. Hata hivyo wanachuoni wamesema ikiwa maiti yule ni mtu wa Bid´ah ambaye analingania katika Bid´ah zake na mwoshaji akaona usoni mwake kuwa ni mwenye kuchukia bora ni kuyataja ili awatahadharishe watu [kutokamana na Bid´ah].
Upande mwingine ikiwa maiti ni mtu mwema na mwoshaji akaona mema ni bora kuyaeleza. Hilo ndani yake mna kujenga dhana nzuri na kumuombea du´aa yule maiti.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/91-90 )
- Imechapishwa: 06/09/2021
Swali: Baadhi ya wale wanaowaosha maiti huelezea yanayowakuta pindi wako wanawaosha maiti. Unasemaje?
Jibu: Kinachotakiwa kwa mwoshaji ni yeye kuficha yale aliyoyaona ikiwa si mazuri. Hata hivyo wanachuoni wamesema ikiwa maiti yule ni mtu wa Bid´ah ambaye analingania katika Bid´ah zake na mwoshaji akaona usoni mwake kuwa ni mwenye kuchukia bora ni kuyataja ili awatahadharishe watu [kutokamana na Bid´ah].
Upande mwingine ikiwa maiti ni mtu mwema na mwoshaji akaona mema ni bora kuyaeleza. Hilo ndani yake mna kujenga dhana nzuri na kumuombea du´aa yule maiti.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/91-90 )
Imechapishwa: 06/09/2021
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-mwoshaji-kuelezea-yale-anayoyaona-kwa-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)