Swali: Kipi kinachofanywa ikiwa haiwezekani kumuosha maiti?
Jibu: Ikiwa haiwezekani kumuosha maiti, wanachuoni wanasema kuwa inatakiwa kumfanyisha Tayammum. Ina maana ya kwamba mwoshaji anatakiwa kupiga mikono yake kwenye udongo halafu apanguse uso wa maiti na vitanga vyake vya mikono. Baada ya hapo avishwe sanda, aswaliwe na kuzikwa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/90 )
- Imechapishwa: 06/09/2021
Swali: Kipi kinachofanywa ikiwa haiwezekani kumuosha maiti?
Jibu: Ikiwa haiwezekani kumuosha maiti, wanachuoni wanasema kuwa inatakiwa kumfanyisha Tayammum. Ina maana ya kwamba mwoshaji anatakiwa kupiga mikono yake kwenye udongo halafu apanguse uso wa maiti na vitanga vyake vya mikono. Baada ya hapo avishwe sanda, aswaliwe na kuzikwa.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/90 )
Imechapishwa: 06/09/2021
https://firqatunnajia.com/maiti-asiyeweza-kuoshwa-anafanywa-nini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)