Kutia manukato mwili mzima wa maiti imethibiti?

Swali: Kitendo cha kuutia manukato mwili mzima wa maiti kimethibiti?

Jibu: Ndio, kimethibiti kwa baadhi ya Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/97)
  • Imechapishwa: 06/09/2021