Swali: Idadi ni kwa njia ya ki-´ibaadah au anaweza kuzidisha juu yake?
Jibu: Sunnah ni yeye afanye yale aliyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Baada ya hapo akiongeza haidhuru. Inafaa kwake kufanya maelfu. Lakini kwanza afanye idadi hii baada ya kila swalah kwa ajili ya kutendea kazi Sunnah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23786/حكم-الزيادة-في-عدد-اذكار-الصلاة-على-الوارد
- Imechapishwa: 27/04/2024
Swali: Idadi ni kwa njia ya ki-´ibaadah au anaweza kuzidisha juu yake?
Jibu: Sunnah ni yeye afanye yale aliyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Baada ya hapo akiongeza haidhuru. Inafaa kwake kufanya maelfu. Lakini kwanza afanye idadi hii baada ya kila swalah kwa ajili ya kutendea kazi Sunnah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23786/حكم-الزيادة-في-عدد-اذكار-الصلاة-على-الوارد
Imechapishwa: 27/04/2024
https://firqatunnajia.com/inafaa-kuzidisha-idadi-ya-dhikr-zilizothibiti-baada-ya-swalah/