Swali: Siwaak wakati wa Khutbah ya ijumaa?
Jibu: Haijuzu wakati wa Khutbah. Anyamaze na aache kutikisika. Asitumie Siwaak wala kitu kingine. Anyamaze na kumsikiliza Khatwiyb. Asijishughulishe na Siwaak wala kitu kingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22647/حكم-استعمال-السواك-اثناء-خطبة-الجمعة
- Imechapishwa: 14/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)