Swali: Baadhi ya wanazuoni wanasema kuwa asikimbie isipokuwa katika Rak´ah mwisho?
Jibu: Hili ni kosa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayh wa sallam) amesema:
“Tembeeni kwa utulivu; kile mlichowahi kiswalini na kile kilichokupiteni kikamilsheni.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23759/حكم-الركض-لادراك-الركعة
- Imechapishwa: 20/04/2024
Swali: Baadhi ya wanazuoni wanasema kuwa asikimbie isipokuwa katika Rak´ah mwisho?
Jibu: Hili ni kosa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayh wa sallam) amesema:
“Tembeeni kwa utulivu; kile mlichowahi kiswalini na kile kilichokupiteni kikamilsheni.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23759/حكم-الركض-لادراك-الركعة
Imechapishwa: 20/04/2024
https://firqatunnajia.com/inafaa-kukimbia-ili-kuwahi-ile-rakah-ya-mwisho/