Swali: Ni wajibu kwa mwanamke kufunika kisigino chake wakati anaposujudu katika swalah?
Jibu: Ndio, ndani ya swalah yote. Anatakiwa kujisitiri. Mwili mzima wa mwanamke ni ´Awrah katika swalah. Isipokuwa tu uso wake ikiwa mbele yake hakuna wanaume ambao si Mahram zake. Ikiwa anaswali mbele ya wanaume ambao sio Mahram zake anatakiwa kufunika uso wake pia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdatul%20Fiqh%20-%2018%20-%201-%20-1436.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)