Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Sijaona walio na akili punguani na dini pungufu wanaomghalibu mwanaume mwenye busara kama nyinyi [wanawake].”[1]
Je, inafahamisha kuwa malipo yake ni pungufu kutokana na hilo? Vinginevyo anakuwa ni mwenye kupewa udhuru?
Jibu: Sijui kitu juu ya hilo. Kwa sababu hilo ni jambo Allaah kamwandikia. Hakika mambo yalivyo ni kwamba hiyo ni sifa yake.
[1] al-Bukhaariy (306).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23534/هل-ناقصات-عقل-ودين-يعني-نقص-الاجر
- Imechapishwa: 08/02/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Sijaona walio na akili punguani na dini pungufu wanaomghalibu mwanaume mwenye busara kama nyinyi [wanawake].”[1]
Je, inafahamisha kuwa malipo yake ni pungufu kutokana na hilo? Vinginevyo anakuwa ni mwenye kupewa udhuru?
Jibu: Sijui kitu juu ya hilo. Kwa sababu hilo ni jambo Allaah kamwandikia. Hakika mambo yalivyo ni kwamba hiyo ni sifa yake.
[1] al-Bukhaariy (306).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23534/هل-ناقصات-عقل-ودين-يعني-نقص-الاجر
Imechapishwa: 08/02/2024
https://firqatunnajia.com/ina-maana-kwamba-mwanamke-analipwa-thawabu-pungufu/