Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Nimekuoneni wanawake ndio wakazi wengi wa Motoni.”
Je, hili ni baada ya wale wapwekeshaji kutoka Motoni?
Jibu: Ni yenye kuenea (عام). Udhahiri wa Hadiyth ni yenye kuenea.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23536/معنى-حديث-رايتكن-اكثر-اهل-النار
- Imechapishwa: 08/02/2024
Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Nimekuoneni wanawake ndio wakazi wengi wa Motoni.”
Je, hili ni baada ya wale wapwekeshaji kutoka Motoni?
Jibu: Ni yenye kuenea (عام). Udhahiri wa Hadiyth ni yenye kuenea.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23536/معنى-حديث-رايتكن-اكثر-اهل-النار
Imechapishwa: 08/02/2024
https://firqatunnajia.com/hadiyth-wanawake-ndio-wakazi-wengi-wa-motoni-ni-yenye-kuenea/