Swali: Katika baadhi ya sehemu wanamfunika maiti kwa kitambaa kilicho na Aayah al-Kursiy au Aayah za Qur-aan. Je, kitendo hichi kina asli?
Jibu: Kitendo hichi hakina asli. Bali uhakika wa mambo ni kuyatweza maneno ya Allaah (´Azza wa Jall) kwa kuyafanya ni kitambaa anachofunikiwa maiti. Hayamnufaishi maiti kitu. Kwa ajili hiyo ni wajibu kuliepuka. Mosi sio katika matendo ya Salaf. Pili ni kuitweza Qur-aan tukufu. Tatu kitendo hichi kina I´tiqaad mbovu ambapo mtu anafikiria kuwa kitambaa hiki kinamnufaisha maiti, jambo ambalo si kweli.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/168)
- Imechapishwa: 23/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket