Swali: Baada ya maiti kuwekwa ndani ya kaburi watu wengi wanalizunguka kaburi na kumwangalia yule maiti. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hakikuwekwa katika Shari´ah. Kilichowekwa katika Shari´ah pindi maiti anapowekwa ndani ya kaburi ni kumfunika kwa kokoto halafu kumzika moja kwa moja. Kilicho bora ni kufanya haraka katika kuzika.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/180)
- Imechapishwa: 23/08/2021
Swali: Baada ya maiti kuwekwa ndani ya kaburi watu wengi wanalizunguka kaburi na kumwangalia yule maiti. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hakikuwekwa katika Shari´ah. Kilichowekwa katika Shari´ah pindi maiti anapowekwa ndani ya kaburi ni kumfunika kwa kokoto halafu kumzika moja kwa moja. Kilicho bora ni kufanya haraka katika kuzika.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/180)
Imechapishwa: 23/08/2021
https://firqatunnajia.com/kusimama-pembezoni-mwa-kaburi-na-kumwangalia-maiti-imewekwa-katika-shariah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)