Swali: Imamu haoni kufaa kuswalia jeneza baada ya ´Aswr na hivyo anaanza kuswalia jeneza kabla ya swalah ya faradhi.
Jibu: Hapana vibaya kumswalia, kwa sababu ni miongoni mwa swalah zenye sababu.
Swali: Je, akemewe?
Jibu: Hapana, aswaliwe baada ya swalah [ya faradhi]. Afunzwe Sunnah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23683/ما-حكم-الصلاة-على-الجنازة-بعد-العصر
- Imechapishwa: 30/03/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)