Swali: Je, makafiri watamuona Mola wao katika uwanja wa mkusanyiko?
Jibu: Hawatomuona isipokuwa tu waumini:
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Sivyo hivyo! Hakika wao Siku hiyo bila shaka watazuiwa wasimuone Mola wao.”[1]
Swali: Hadiyth isemayo:
“Hakuna yeyote katika nyinyi isipokuwa Mola Wake atamzungumzisha.”?
Jibu: Mazungumzo sio kuona.
[1] 83:15
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23679/هل-يرى-الكفار-ربهم-في-الموقف
- Imechapishwa: 30/03/2024
Swali: Je, makafiri watamuona Mola wao katika uwanja wa mkusanyiko?
Jibu: Hawatomuona isipokuwa tu waumini:
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Sivyo hivyo! Hakika wao Siku hiyo bila shaka watazuiwa wasimuone Mola wao.”[1]
Swali: Hadiyth isemayo:
“Hakuna yeyote katika nyinyi isipokuwa Mola Wake atamzungumzisha.”?
Jibu: Mazungumzo sio kuona.
[1] 83:15
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23679/هل-يرى-الكفار-ربهم-في-الموقف
Imechapishwa: 30/03/2024
https://firqatunnajia.com/je-makafiri-watamuona-allaah-katika-uwanja-wa-mkusanyiko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)