Swali: Baadhi ya maimamu wanamsubiri anayeingia ili awahi Rak´ah na baadhi ya wengine wanasema kuwa haikusuniwa kusubiri. Ni yepi ya sawa?
Jibu: Usawa ni kumsubiri kidogo anayeingia ili awahi Rak´ah kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/247)
- Imechapishwa: 30/10/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
47. Kumsubiri mwenye kuingia awahi Rukuu´
Swali 47: Baadhi ya maimamu wanamsubiri anayeingia ili awahi Rak´ah na baadhi ya wengine wanasema kuwa haikusuniwa kusubiri. Ni yepi ya sawa? Jibu: Usawa ni kumsubiri kidogo anayeingia ili awahi Rak´ah kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
In "3. Swalah ya mkusanyiko, uimamu na kumfuata imamu"
46. Ili mswaliji ahesabike amewahi Rak´ah ni lazima awahi kuleta Tasbiyh?
Swali 46: Ni kipi kilichosuniwa kwa ambaye amekuja amechelewa akimkuta imamu yuko katika Rukuu´? Hukumu ya kuwahi Rak´ah ni sharti awahi kusema: سبحان ربي العظيم “Ametakasika Mola wangu aliyetukuka.” kabla ya imamu kuinuka? Jibu: Maamuma akimuwahi imamu hali ya kurukuu Rak´ah hiyo imesihi ijapo hakuwahi kuleta Tasbiyh isipokuwa baada ya…
In "3. Swalah ya mkusanyiko, uimamu na kumfuata imamu"
Aanze kuoga janaba au daku kwanza?
Swali: Akiamka mtu ilihali yuko na janaba, na na hapakubaki ila wakati mdogo wa adhaana ya pili. Je, aanze kula daku kisha ndo akoge ili awahi muda wa daku? Au akoge kwanza impite daku? Jibu: Aanze kula daku kisha ndo aoge. Na awahi mkusanyiko - Allaah akitaka.
In "Daku"