Swali: Baadhi ya maimamu wanamsubiri anayeingia ili awahi Rak´ah na baadhi ya wengine wanasema kuwa haikusuniwa kusubiri. Ni yepi ya sawa?
Jibu: Usawa ni kumsubiri kidogo anayeingia ili awahi Rak´ah kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/247)
- Imechapishwa: 30/10/2021
Swali: Baadhi ya maimamu wanamsubiri anayeingia ili awahi Rak´ah na baadhi ya wengine wanasema kuwa haikusuniwa kusubiri. Ni yepi ya sawa?
Jibu: Usawa ni kumsubiri kidogo anayeingia ili awahi Rak´ah kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/247)
Imechapishwa: 30/10/2021
https://firqatunnajia.com/imamu-amsubiri-aliyeingia-ili-awahi-rakah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)