Swali: Ni ipi hukumu ya kuwahamasisha wanawake kusoma katika chuo kikuu cha mchanganyiko kwa hoja eti wasiwategemei wanaume wao na kwamba wawe wameelimika pindi watapoachika?
Jibu: Hiyo sio hoja. Wasisome katika chuo kikuu cha mchanganyiko. Haijuzu.
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin Sa´d as-Suhaymiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://darulhadith.com/for-att-inte-bero-pa-sina-man/
- Imechapishwa: 31/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
