Swali: Vipi mwanamke kuwasalimia wanaume?
Jibu: Ndio, kama ambavo inafaa pia kwa wanaume kuwasalimia wanawake ikiwa hakuna mashaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwasalimia wanawake nao wakamsalimia. Vilevile wanawake wa kike waliwasalimia Maswahabah wa kiume.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23942/ما-حكم-سلام-المراة-على-الرجال
- Imechapishwa: 02/08/2024
Swali: Vipi mwanamke kuwasalimia wanaume?
Jibu: Ndio, kama ambavo inafaa pia kwa wanaume kuwasalimia wanawake ikiwa hakuna mashaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwasalimia wanawake nao wakamsalimia. Vilevile wanawake wa kike waliwasalimia Maswahabah wa kiume.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23942/ما-حكم-سلام-المراة-على-الرجال
Imechapishwa: 02/08/2024
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-wanawake-kuwasalimia-wanaume-na-kinyume-chake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)