Swali: Baadhi ya wanafunzi wanaona uzito kusema “imamu an-Nawawiy” kwa sababu imamu ni yule anayefuatwa.
Jibu: Hapana vibaya, anayo makosa. Anaitwa imamu. Anafuatwa katika elimu, fadhilah zake na uelewa wake. Anayo makosa. Allaah amsamehe yeye na sisi. Ni maimamu wachache wasiokuwa na makosa. Kila mwanadamu ni mwenye kukosea.
Swali: Ibn Hajar na an-Nawawiy ni katika Ashaa´irah?
Jibu: Hapana. Wamepindisha maana baadhi tu ya sifa za Allaah. Sio Ashaa´irah moja kwa moja. Wamepindisha maana baadhi tu ya sifa za Allaah na baadhi ya makosa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22644/ما-القول-في-اغلاط-النووي-وابن-حجر
- Imechapishwa: 12/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)