Swali: Baadhi ya watu wanazungumza na jini na wanachukua ahadi kutoka kwake na mfano wa hayo na wanawauliza baadhi ya maswali. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ikiwa inahusiana na sababu ya kulitoa, ikiwa anazungumza nalo kwa ajili ya kutaka ahadi kutoka kwake, kulitahadharisha na kubainisha sababu [sauti haisikiki] kitu hiki, ikiwa ni kuhusiana na hili hakuna neno. Makusudio ni kwamba mtu afanye mambo ambayo atafikia kulitoa.
Swali: Na ni ipi hukumu ya kuchukua ahadi kutoka kwa jini?
Jibu: Ikiwa anataka kuchukua ahadi kwake asirudi [sauti haisikiki] na atahadhari na hilo, hakuna neno.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
- Imechapishwa: 05/05/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket