Swali: Baadhi ya watu wanazungumza na jini na wanachukua ahadi kutoka kwake na mfano wa hayo na wanawauliza baadhi ya maswali. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ikiwa inahusiana na sababu ya kulitoa, ikiwa anazungumza nalo kwa ajili ya kutaka ahadi kutoka kwake, kulitahadharisha na kubainisha sababu [sauti haisikiki] kitu hiki, ikiwa ni kuhusiana na hili hakuna neno. Makusudio ni kwamba mtu afanye mambo ambayo atafikia kulitoa.
Swali: Na ni ipi hukumu ya kuchukua ahadi kutoka kwa jini?
Jibu: Ikiwa anataka kuchukua ahadi kwake asirudi [sauti haisikiki] na atahadhari na hilo, hakuna neno.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
- Imechapishwa: 05/05/2015
Swali: Baadhi ya watu wanazungumza na jini na wanachukua ahadi kutoka kwake na mfano wa hayo na wanawauliza baadhi ya maswali. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ikiwa inahusiana na sababu ya kulitoa, ikiwa anazungumza nalo kwa ajili ya kutaka ahadi kutoka kwake, kulitahadharisha na kubainisha sababu [sauti haisikiki] kitu hiki, ikiwa ni kuhusiana na hili hakuna neno. Makusudio ni kwamba mtu afanye mambo ambayo atafikia kulitoa.
Swali: Na ni ipi hukumu ya kuchukua ahadi kutoka kwa jini?
Jibu: Ikiwa anataka kuchukua ahadi kwake asirudi [sauti haisikiki] na atahadhari na hilo, hakuna neno.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kuzungumza-na-jini-wakati-wa-haja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)