Swali: Vipi mtu atawaraddi ´Ashaa´irah ambao wamefasiri neno “kulingana kwa Allaah” ya kwamba ni kutawala?
Jibu: Kutawala inakuwa kwa kiumbe kama mfano wa wafanyavyo wafalme. Ama Allaah Yeye Yuko juu ya viumbe Vyake vyote na ndiye Mfalme wa kila kitu (Subhaanahu wa Ta´ala). Hii ni kasora [kwa Allaah]. Ni uzushi na uongo na kufuru na tunaomba msaada kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (02)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Vipi mtu atawaraddi ´Ashaa´irah ambao wamefasiri neno “kulingana kwa Allaah” ya kwamba ni kutawala?
Jibu: Kutawala inakuwa kwa kiumbe kama mfano wa wafanyavyo wafalme. Ama Allaah Yeye Yuko juu ya viumbe Vyake vyote na ndiye Mfalme wa kila kitu (Subhaanahu wa Ta´ala). Hii ni kasora [kwa Allaah]. Ni uzushi na uongo na kufuru na tunaomba msaada kwa Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (02)
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kufasiri-neno-kulingana-kuwa-ni-kutawala/