Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja wakati wa kuhamia ndani ya nyumba mpya?
Jibu: Haya yalikuwa yakifanywa. Ni shirki kibwa kwa kuwa ni kuwaabudu majini.
Swali: Vipi ikiwa malengo sio kujikurubisha kwa majini?
Jibu: Ni jambo linalojulikana kuwa wanawalenga majini na wanasema kuwa wanawachinjia ili wawasalimishe na shari yao na ili wasiwaudhi katika majumba yao. Haya yalikuwa yakipatikana kusini. Lakini yameisha – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
- Imechapishwa: 21/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)