Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja wakati wa kuhamia ndani ya nyumba mpya?
Jibu: Haya yalikuwa yakifanywa. Ni shirki kibwa kwa kuwa ni kuwaabudu majini.
Swali: Vipi ikiwa malengo sio kujikurubisha kwa majini?
Jibu: Ni jambo linalojulikana kuwa wanawalenga majini na wanasema kuwa wanawachinjia ili wawasalimishe na shari yao na ili wasiwaudhi katika majumba yao. Haya yalikuwa yakipatikana kusini. Lakini yameisha – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
- Imechapishwa: 21/11/2016
Swali: Ni ipi hukumu ya kuchinja wakati wa kuhamia ndani ya nyumba mpya?
Jibu: Haya yalikuwa yakifanywa. Ni shirki kibwa kwa kuwa ni kuwaabudu majini.
Swali: Vipi ikiwa malengo sio kujikurubisha kwa majini?
Jibu: Ni jambo linalojulikana kuwa wanawalenga majini na wanasema kuwa wanawachinjia ili wawasalimishe na shari yao na ili wasiwaudhi katika majumba yao. Haya yalikuwa yakipatikana kusini. Lakini yameisha – Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
Imechapishwa: 21/11/2016
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuchinja-wakati-wa-kuhamia-nyumba-mpya/