Swali: Kuhusiana na suala la kumtazama yatima; inatokea wakati mwingine kuna kuponi ya kuwatazama mayatima kwa kipindi cha mwaka mmoja au miaka kadhaa. Je, mtu anaingia katika Hadiyth[1] ikiwa atamfadhili kwa kipindi cha mwaka mmoja peke yake?
Jibu: Kunatarajiwa kwake kheri – Allaah akitaka. Ikiwa atachangia katika kheri hii basi kunatarajiwa kwake kheri.
[1] Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mimi na mwenye kumtazama yatima huko Peponi tuko hivi. Akaashiria vidole vyake; cha shahaadah na cha kati na kuvipambanua baina yake kiasi fulani.” (al-Bukhaariy 5304).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21631/هل-يشمل-فضل-كفالة-اليتيم-الكفالة-الموقتة
- Imechapishwa: 04/09/2022
Swali: Kuhusiana na suala la kumtazama yatima; inatokea wakati mwingine kuna kuponi ya kuwatazama mayatima kwa kipindi cha mwaka mmoja au miaka kadhaa. Je, mtu anaingia katika Hadiyth[1] ikiwa atamfadhili kwa kipindi cha mwaka mmoja peke yake?
Jibu: Kunatarajiwa kwake kheri – Allaah akitaka. Ikiwa atachangia katika kheri hii basi kunatarajiwa kwake kheri.
[1] Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mimi na mwenye kumtazama yatima huko Peponi tuko hivi. Akaashiria vidole vyake; cha shahaadah na cha kati na kuvipambanua baina yake kiasi fulani.” (al-Bukhaariy 5304).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21631/هل-يشمل-فضل-كفالة-اليتيم-الكفالة-الموقتة
Imechapishwa: 04/09/2022
https://firqatunnajia.com/huyu-anaingia-katika-fadhilah-za-kumtazama-yatima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)