Swali: Je, inafaa kufungua benki za mbegu za kiume?
Jibu: Haijuzu. Jambo hilo lina uharibifu mkubwa. Hili linapelekea kujinasibisha na nasaha baada ya kufa kwa mtu. Haijuzu. Ni lazima kuzifunga.
Swali: Kuna uwezekano manii haya yakahifadhiwa kwenye mirija ya majaribio yenye lebo kwa kila mwanamke.
Jibu: Hapana. Ni lazima kuzifunga.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21642/ما-حكم-انشاء-بنك-للبن-الادميات
- Imechapishwa: 04/09/2022
Swali: Je, inafaa kufungua benki za mbegu za kiume?
Jibu: Haijuzu. Jambo hilo lina uharibifu mkubwa. Hili linapelekea kujinasibisha na nasaha baada ya kufa kwa mtu. Haijuzu. Ni lazima kuzifunga.
Swali: Kuna uwezekano manii haya yakahifadhiwa kwenye mirija ya majaribio yenye lebo kwa kila mwanamke.
Jibu: Hapana. Ni lazima kuzifunga.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21642/ما-حكم-انشاء-بنك-للبن-الادميات
Imechapishwa: 04/09/2022
https://firqatunnajia.com/benki-za-manii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)