Swali: Je, inajuzu kufanyia ujasusi wanafamilia kama mfano wa dada na mke ili kuwalinda na kuangalia wanayoyaficha kwenye vyombo vyao wanavyobeba…
Jibu: Huku sio kufanya ujasusi. Huku ni kuwachunga. Ni kuwachunga na ni kuwahifadhi. Sio ujasusi. Ujasusi haujuzu:
|
وَلَا تَجَسَّسُوا |
| “Na wala msipelelezane.” (49:12) |
Huku ni kuchunga. Huku ni kumchunga mwanamke ili kumhifadhi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Je, inajuzu kufanyia ujasusi wanafamilia kama mfano wa dada na mke ili kuwalinda na kuangalia wanayoyaficha kwenye vyombo vyao wanavyobeba…
Jibu: Huku sio kufanya ujasusi. Huku ni kuwachunga. Ni kuwachunga na ni kuwahifadhi. Sio ujasusi. Ujasusi haujuzu:
وَلَا تَجَسَّسُوا
“Na wala msipelelezane.” (49:12)
Huku ni kuchunga. Huku ni kumchunga mwanamke ili kumhifadhi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/huu-sio-ujasusi-bali-ni-kumchunga-mwanamke/