Swali: Je, inajuzu kufanyia ujasusi wanafamilia kama mfano wa dada na mke ili kuwalinda na kuangalia wanayoyaficha kwenye vyombo vyao wanavyobeba…
Jibu: Huku sio kufanya ujasusi. Huku ni kuwachunga. Ni kuwachunga na ni kuwahifadhi. Sio ujasusi. Ujasusi haujuzu:
وَلَا تَجَسَّسُوا |
“Na wala msipelelezane.” (49:12) |
Huku ni kuchunga. Huku ni kumchunga mwanamke ili kumhifadhi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket