Swali: Najua kuwa kwenye masoko kuna fitina kubwa. Hata hivyo, afanye nini mwanamke wakati anapotaka kutekeleza haja na kununua mahitajio yake?
Jibu: Ajihifadhi. Ndio, ni kweli kuwa masoko yana maovu na fitina nyingi. Mwanamke akihitajia kutoka ajihifadhi, ajiepushe na mapambo, ajiepushe na manukato, ajisitiri, ajiepushe na kuchanganyika na wanaume na atahadhari na fitina. Kwa haya Allaah Atamsitiri.
Swali: Najua kuwa kwenye masoko kuna fitina kubwa. Hata hivyo, afanye nini mwanamke wakati anapotaka kutekeleza haja na kununua mahitajio yake?
Jibu: Ajihifadhi. Ndio, ni kweli kuwa masoko yana maovu na fitina nyingi. Mwanamke akihitajia kutoka ajihifadhi, ajiepushe na mapambo, ajiepushe na manukato, ajisitiri, ajiepushe na kuchanganyika na wanaume na atahadhari na fitina. Kwa haya Allaah Atamsitiri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Najua kuwa kwenye masoko kuna fitina kubwa. Hata hivyo, afanye nini mwanamke wakati anapotaka kutekeleza haja na kununua mahitajio yake?
Jibu: Ajihifadhi. Ndio, ni kweli kuwa masoko yana maovu na fitina nyingi. Mwanamke akihitajia kutoka ajihifadhi, ajiepushe na mapambo, ajiepushe na manukato, ajisitiri, ajiepushe na kuchanganyika na wanaume na atahadhari na fitina. Kwa haya Allaah Atamsitiri.
Swali: Najua kuwa kwenye masoko kuna fitina kubwa. Hata hivyo, afanye nini mwanamke wakati anapotaka kutekeleza haja na kununua mahitajio yake?
Jibu: Ajihifadhi. Ndio, ni kweli kuwa masoko yana maovu na fitina nyingi. Mwanamke akihitajia kutoka ajihifadhi, ajiepushe na mapambo, ajiepushe na manukato, ajisitiri, ajiepushe na kuchanganyika na wanaume na atahadhari na fitina. Kwa haya Allaah Atamsitiri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndivyo-anavyotoka-mwanamke-anapoenda-sokoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)