Swali: Baadhi ya vifaa vya kujipodoa vinazuia maji kufika kwenye ngozi wakati wa Wudhuu. Unawanasihi nini wanawake?
Jibu: Ni kama mfano wa vipodozi. Asivitumie isipokuwa katika wakati ambapo mwanamke haimuwajibikii Swalah. Wakati ambapo Swalah inamuwajibikia asivitumie. Sio wajibu kwake kuswali katika wakati wa hedhi na nifasi.
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Baadhi ya vifaa vya kujipodoa vinazuia maji kufika kwenye ngozi wakati wa Wudhuu. Unawanasihi nini wanawake?
Jibu: Ni kama mfano wa vipodozi. Asivitumie isipokuwa katika wakati ambapo mwanamke haimuwajibikii Swalah. Wakati ambapo Swalah inamuwajibikia asivitumie. Sio wajibu kwake kuswali katika wakati wa hedhi na nifasi.
Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/huu-ndio-wakati-wa-mwanamke-kujipodoa/