Swali: Baadhi ya vifaa vya kujipodoa vinazuia maji kufika kwenye ngozi wakati wa Wudhuu. Unawanasihi nini wanawake?
Jibu: Ni kama mfano wa vipodozi. Asivitumie isipokuwa katika wakati ambapo mwanamke haimuwajibikii Swalah. Wakati ambapo Swalah inamuwajibikia asivitumie. Sio wajibu kwake kuswali katika wakati wa hedhi na nifasi.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Baadhi ya vifaa vya kujipodoa vinazuia maji kufika kwenye ngozi wakati wa Wudhuu. Unawanasihi nini wanawake?
Jibu: Ni kama mfano wa vipodozi. Asivitumie isipokuwa katika wakati ambapo mwanamke haimuwajibikii Swalah. Wakati ambapo Swalah inamuwajibikia asivitumie. Sio wajibu kwake kuswali katika wakati wa hedhi na nifasi.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/huu-ndio-wakati-wa-mwanamke-kujipodoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)