Swali: Vipi ikiwa mwanamke atatanguliza Sa´y kabla ya Twawaaf?
Jibu: Kilichopendekezwa ni kwamba abaki hadi atakapoweza kutufu kwanza, kwa sababu Sa´y inapaswa kufanyika baada ya Twawaaf. Hata hivyo inasihi kwa mujibu wa maoni yenye nguvu. Lakini kilichowekwa katika Shari´ah ni kwamba abaki hadi atakapotwahirika, kisha baada ya hapo atufu na kufanya Sa´y. Imesihi kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba aliulizwa:
”Ee Mtume wa Allaah, nimefanya Sa´y kabla ya kutufu?” Akasema: ”Hakuna shida.”
Hata hivyo Sunnah ni kwamba muumini atufu kwanza kisha afanye Sa´y, kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu mwanamke aliye katika hedhi, anapaswa kubaki hadi atakapotwaharika. Akishatwahirika atafanya Twawaaf na Sa´y.
Swali: Je, Hadiyth inayohusu mtu aliyeuliza swali hilo ni maalum na mtu aliyetanguliza Sa´y katika hajj peke yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumpambanulia muulizaji.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24987/ما-حكم-من-قدمت-السعي-على-الطواف
- Imechapishwa: 19/01/2025
Swali: Vipi ikiwa mwanamke atatanguliza Sa´y kabla ya Twawaaf?
Jibu: Kilichopendekezwa ni kwamba abaki hadi atakapoweza kutufu kwanza, kwa sababu Sa´y inapaswa kufanyika baada ya Twawaaf. Hata hivyo inasihi kwa mujibu wa maoni yenye nguvu. Lakini kilichowekwa katika Shari´ah ni kwamba abaki hadi atakapotwahirika, kisha baada ya hapo atufu na kufanya Sa´y. Imesihi kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba aliulizwa:
”Ee Mtume wa Allaah, nimefanya Sa´y kabla ya kutufu?” Akasema: ”Hakuna shida.”
Hata hivyo Sunnah ni kwamba muumini atufu kwanza kisha afanye Sa´y, kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu mwanamke aliye katika hedhi, anapaswa kubaki hadi atakapotwaharika. Akishatwahirika atafanya Twawaaf na Sa´y.
Swali: Je, Hadiyth inayohusu mtu aliyeuliza swali hilo ni maalum na mtu aliyetanguliza Sa´y katika hajj peke yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumpambanulia muulizaji.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24987/ما-حكم-من-قدمت-السعي-على-الطواف
Imechapishwa: 19/01/2025
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-mwenye-kutanguliza-say-kabla-ya-twawaaf/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)