Swali: Hadiyth isemayo:
“Mwenye kumsitiri mtu basi Allaah atamsitiri.”
Je, inafaa kwetu kumsitiri mzinifu na mwenye kunywa pombe? Jibu ikiwa “ndio” ni vipi tutakemea maovu? Je, tupuuzie tukiona maovu?
Jibu: Mambo yakifika kwa wahusika haifai kwetu kusitiri. Ama kabla ya hapo mtu anatakiwa kutazama; je, mtu huyu alikuwa ni mwenye msimamo na akatokewa na kuteleza na huenda akinasihiwa atatubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Mtu kama huyu lililo bora ni kumsitiri[1]. Lakini ikiwa kwamba kumsitiri atakuwa muovu zaidi na shari yake itazidi haijuzu kumsitiri. Bali ni lazima kuwafikishia watawala ili wamsimamishie adhabu ambayo ni wajibu kusimamishiwa.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mzinzi-anayetakiwa-kusitiriwa/
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1721
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Hadiyth isemayo:
“Mwenye kumsitiri mtu basi Allaah atamsitiri.”
Je, inafaa kwetu kumsitiri mzinifu na mwenye kunywa pombe? Jibu ikiwa “ndio” ni vipi tutakemea maovu? Je, tupuuzie tukiona maovu?
Jibu: Mambo yakifika kwa wahusika haifai kwetu kusitiri. Ama kabla ya hapo mtu anatakiwa kutazama; je, mtu huyu alikuwa ni mwenye msimamo na akatokewa na kuteleza na huenda akinasihiwa atatubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Mtu kama huyu lililo bora ni kumsitiri[1]. Lakini ikiwa kwamba kumsitiri atakuwa muovu zaidi na shari yake itazidi haijuzu kumsitiri. Bali ni lazima kuwafikishia watawala ili wamsimamishie adhabu ambayo ni wajibu kusimamishiwa.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mzinzi-anayetakiwa-kusitiriwa/
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1721
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kumsitiri-mtenda-madhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)