Vipi nitaona tofauti kati ya mapote na mielekeo? Vipi mtu atasalimika na mielekeo hiyo batili?
Jibu: Kwa kusoma vitabu vya ´Aqiydah sahihi vilivyoandikwa na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Kwa njia hiyo ndio utajua mambo haya. Huwezi kujua hili pasina kuvisoma. Mambo yatakuchanganya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-5-11-1435.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Vipi nitaona tofauti kati ya mapote na mielekeo? Vipi mtu atasalimika na mielekeo hiyo batili?
Jibu: Kwa kusoma vitabu vya ´Aqiydah sahihi vilivyoandikwa na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Kwa njia hiyo ndio utajua mambo haya. Huwezi kujua hili pasina kuvisoma. Mambo yatakuchanganya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-5-11-1435.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/hivi-ndivyo-utaona-tofauti-kati-ya-mapote-na-mielekeo/