Swali: Je, katika Uislamu kuna Bid´ah nzuri na Bid´ah mbaya?
Jibu: Hili linapatikana kwa makhurafi. Ama Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah hawana Bid´ah nzuri. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kila kitakachozushwa ni Bid´ah na kila Bid´ah ni upotevu.”
Hakusema kuwa kuna Bid´ah nzuri na mbaya. Bali (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kwa jumla:
“… kila Bid´ah ni upotevu.”
Mwenye kusema kuwa kuna Bid´ah nzuri anamraddi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Je, katika Uislamu kuna Bid´ah nzuri na Bid´ah mbaya?
Jibu: Hili linapatikana kwa makhurafi. Ama Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah hawana Bid´ah nzuri. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kila kitakachozushwa ni Bid´ah na kila Bid´ah ni upotevu.”
Hakusema kuwa kuna Bid´ah nzuri na mbaya. Bali (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kwa jumla:
“… kila Bid´ah ni upotevu.”
Mwenye kusema kuwa kuna Bid´ah nzuri anamraddi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/hili-halinapatikana-kwa-ahl-us-sunnah-linapatikana-kwa-makhurafi/