Swali: Je, inajuzu kula nyama iliyochinjwa katika maulidi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana. Hii ni Bid´ah. Hii ni Bid´ah na ni sikukuu iliyozushwa. Vinavyochinjwa katika sikukuu iliyozushwa ni haramu. Vilevile chakula kinachofanywa kwa ajili ya siku hiyo ni haramu. Kwa kuwa hayakufanywa isipokuwa ni kwa ajili ya kuhuisha Bid´ah na kuadhimisha Bid´ah. Haijuzu kushirikiana nao, kula vyakula vyao na wala vichinjwa vyao katika siku hii. Kwa kuwa huku ni kuwashaji´isha, kuwasaidia na kukubaliana nao kwa kitendo hichi kilichozushwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12519
- Imechapishwa: 19/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)