Swali: Je, mtu anapata dhambi kwa kusema “hello” wakati wa kuitikia salamu?
Jibu: Ni kwenda kinyume na Sunnah. Kilicho cha wajibu ni kuitikia salamu kwa kusema:
وعليكم السلام
“Nanyi amani ya Allaah iwe juu yenu.”
Allaah (Ta´ala) amesema:
وَإِذَا حُيِّيتُم بِتَحِيَّةٍ فَحَيُّوا بِأَحْسَنَ مِنْهَا أَوْ رُدُّوهَا
“Mtapoamkiwa kwa maamkizi yoyote, basi itikieni kwa yaliyo mazuri zaidi kuliko hayo au yarudisheni hayo hayo.” (04:86)
Kwa hivyo afunzwe na kuelekezwa katika kheri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23938/حكم-رد-السلام-بقول-هلا-او-مرحبا
- Imechapishwa: 01/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)