Swali: Ni lazima kwa mwanamke kufunika uso wake hata kama uso wake ni mbaya?
Jibu: Haijalishi kitu. Isipokuwa hapana vibaya kwa wanawake wazee waliokatika hedhi wasiotamani ndoa na wala hawajipodoi. Kuhusu wengine kunaweza kuwepo utata. Kila chenye kutupwa kina mwenye kukiokota; wanawake kama hao wanaweza kuwatia kwenye mtihani baadhi ya watu. Isitoshe ubaya hauna kikomo sahihi; mwanamke anaweza kuwa mbaya kwa mujibu wa watu fulani na mrembo kwa mujibu wa wengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23937/هل-يجب-ستر-وجه-المراة-ولو-كان-قبيحا
- Imechapishwa: 01/08/2024
Swali: Ni lazima kwa mwanamke kufunika uso wake hata kama uso wake ni mbaya?
Jibu: Haijalishi kitu. Isipokuwa hapana vibaya kwa wanawake wazee waliokatika hedhi wasiotamani ndoa na wala hawajipodoi. Kuhusu wengine kunaweza kuwepo utata. Kila chenye kutupwa kina mwenye kukiokota; wanawake kama hao wanaweza kuwatia kwenye mtihani baadhi ya watu. Isitoshe ubaya hauna kikomo sahihi; mwanamke anaweza kuwa mbaya kwa mujibu wa watu fulani na mrembo kwa mujibu wa wengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23937/هل-يجب-ستر-وجه-المراة-ولو-كان-قبيحا
Imechapishwa: 01/08/2024
https://firqatunnajia.com/niqaab-kwa-mwanamke-mbaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)