Swali: Ni ipi hukumu baadhi ya vitambaa vinavyotengenezwa kwa hariri ya bandia na si ya asili?
Jibu: Salama zaidi ni kuwaachia vitambaa hivyo wanawake. Kwa sababu vinafanana na hariri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22149/حكم-الاقمشة-المصنوعة-من-الحرير-الصناعي
- Imechapishwa: 29/10/2022
Swali: Ni ipi hukumu baadhi ya vitambaa vinavyotengenezwa kwa hariri ya bandia na si ya asili?
Jibu: Salama zaidi ni kuwaachia vitambaa hivyo wanawake. Kwa sababu vinafanana na hariri.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22149/حكم-الاقمشة-المصنوعة-من-الحرير-الصناعي
Imechapishwa: 29/10/2022
https://firqatunnajia.com/hariri-ya-bandia-kwa-wanamme/