Swali: Baadhi ya magari yanakuwa na misalaba.
Jibu: Misalaba hiyo isuguliwe na kuondolewa pia.
Swali: Hata kwenye sofa pia?
Jibu: Kitu kinachokanyagwa jambo lake ni sahali. Lakini kama ni rahisi ausugue. Vinginevyo bora auondoe.
Swali: Ikiwa si rahisi hapati dhambi?
Jibu: Itwezwe ardhini. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa akiona msalaba wowote isipokuwa anaukata.”
Bi maana anauvunja. Anaweza kuusugua msalaba huo na akaweka juu yake kitambara au kitu kingine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22144/ماذا-يفعل-من-لديه-سيارة-فيها-صلبان
- Imechapishwa: 29/10/2022
Swali: Baadhi ya magari yanakuwa na misalaba.
Jibu: Misalaba hiyo isuguliwe na kuondolewa pia.
Swali: Hata kwenye sofa pia?
Jibu: Kitu kinachokanyagwa jambo lake ni sahali. Lakini kama ni rahisi ausugue. Vinginevyo bora auondoe.
Swali: Ikiwa si rahisi hapati dhambi?
Jibu: Itwezwe ardhini. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa akiona msalaba wowote isipokuwa anaukata.”
Bi maana anauvunja. Anaweza kuusugua msalaba huo na akaweka juu yake kitambara au kitu kingine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22144/ماذا-يفعل-من-لديه-سيارة-فيها-صلبان
Imechapishwa: 29/10/2022
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kuondoa-misalaba-inayokuwa-katika-vitu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)