Swali: Ninapochinja njiwa wangu huwa ninawakata vichwa mara moja bila kungoja wafe kwanza. Je, uchinjaji wangu huu ni sahihi ?
Jibu: Inachukiza kufanya hivo. Ni jambo linalochukiza kukata kichwa chake kabla ya kufa. Wakati ameshakufa, ndio umkate kichwa chake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 30/11/2023
Swali: Ninapochinja njiwa wangu huwa ninawakata vichwa mara moja bila kungoja wafe kwanza. Je, uchinjaji wangu huu ni sahihi ?
Jibu: Inachukiza kufanya hivo. Ni jambo linalochukiza kukata kichwa chake kabla ya kufa. Wakati ameshakufa, ndio umkate kichwa chake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 30/11/2023
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-unamkata-mnyama-anayechinjwa-kichwa-chake/