Swali: Mwindaji amempiga jiwe ndege na likampata, kisha akawahi kumchinja kabla ya kufa. Je, nyama hiyo ni halali?
Jibu: Ndio. Akiwahi kumchinja kabla ya kufa, ni halali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 30/11/2023
Swali: Mwindaji amempiga jiwe ndege na likampata, kisha akawahi kumchinja kabla ya kufa. Je, nyama hiyo ni halali?
Jibu: Ndio. Akiwahi kumchinja kabla ya kufa, ni halali.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 30/11/2023
https://firqatunnajia.com/kumpiga-jiwe-ndege-kisha-kumchinja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)